MBAGALA WAFANYA KIKAO CHA BARAZA LA VIJANA WA CCM (UVCCM) - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

MBAGALA WAFANYA KIKAO CHA BARAZA LA VIJANA WA CCM (UVCCM)

Mgeni rasmi wa Baraza la Vijana wa CCM (UVCCM) la Kata ya Mbagala ambaye pia ni Mwenyekiti wa UVCCM, Oliver Mwambope (aliye katikati mwenye shati la mikono mirefu) akiwa kwenye meza kuu. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa CCM, Kata ya Mbagala, Mzee Kassim Ngamba. anayemfuatia ni Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa wa Vijana, Anastazia Mwonga, Mjumbe wa Baraza la Mkoa DSM, Teddy. Kulia kwa Mgeni rasmi ni Mwenyekiti wa UVCCM, kata ya Mbagala, Abdulhaman Ngamba na Mjumbe wa Baraza la Mkoa wa DSM, Ally Makwiro
Meza kuu wakiwa wameketi baada ya kuingia Ukumbini.
 Katibu Kata ya Mbagala, Emmanuel John akiwakaribisha Wajumbe na kumkaribisha Mwenyekiti wa UVCCM, Kata ya Mbagala kufungua kikao.
 Mwenyekiti wa UVCCM Kata ya Mbagala, Abdulhaman Ngamba akifungua Kikao.
 Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa wa UVCCM, Annastazia Mwonga akitoa maneno yake kwenye Baraza hilo la Kata.
 Mjumbe wa Baraza la Mkoa DSM, Ally Makwiro naye pia akiwaasa vijana kuchapa kazi vilivyo za chama.
 Mgeni rasmi, Mwenyekiti wa (W) Temeke wa UVCCM, Oliver Mwambope akiongea na Vijana wa Mbagala.
 Baadhi ya Wajumbe wa Baraza wakiwa makini kusikiliza.
Katibu kata wa UVCCM, Kata ya Mbagala, Emmanuel John akinena na Vijana wa Kata ya Mbagala pamoja na Wageni rasmi juu ya uwepo wa Vijana na dhana ya ushindi kwa dola.
 Mgeni rasmi, Mwenyekiti wa (W) Temeke wa UVCCM, Oliver Mwambope akiagana na Katibu Kata wa UVCCM, Kata ya Mbagala, Emmanuel John mara baada ya baraza la vijana kumalizika.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages