Magufuli afungua mkutano wa bodi ya Usajili ya Wakandarasi (CRB) na bodi ya Usajili ya Wahandisi (ERB) - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Magufuli afungua mkutano wa bodi ya Usajili ya Wakandarasi (CRB) na bodi ya Usajili ya Wahandisi (ERB)

1Waziri wa Ujenzi, Profesa John Magufuli akiongea kwenye mkutano wa ufunguzi wa bodi ya Usajili ya Wakandarasi (CRB) na bodi ya Usajili ya Wahandisi (ERB) iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana.
2Waziri wa Ujenzi, Profesa John Magufuli akimpa tuzo Mhandisi, Exaud Mushi ya pongezi baada ya kumaliza muda wake  kwenye bodi ya Usajili ya Wahandisi (ERB) wakati wa uzinduzi wa bodi ya Wakandarasi (CRB) na ERB iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana.
3Waziri wa Ujenzi, Profesa John Magufuli akiwa na Mwenyekiti wa bodi ya Usajili ya Wahandisi (ERB), Consolata Ngimbwa kwenye mkutano wa ufunguzi wa bodi ya Usajili ya Wakandarasi (CRB) na ERB iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana.PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages