Zanzibar,(kushoto), Kaimu Waziri wa Katiba na Sheria,pia Biashara Viwanda na Masoko Nassor Ahmed Mazrui,na (kulia) Jaji Mkuu wa Zanzibar Omar Othman Makungu
ukipigwa na Brass band kikosi cha polisi katika sherehe za maadhimisho
ya Siku ya Sheria Zanzibar.mara alipowasili Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiwa ndio
mgeni rasmi katika hafla hiyo,iliyofanyika viwanja vya Victoria garden
Mjini Unguja.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)