MKUU WA JESHI LA MAGEREZA NCHINI, KAMISHNA JENERALI JOHN MINJA AKIFUNGA MAFUNZO YA AWALI YA UDEREVA WA MAGARI NA MATREKA KATIKA CHUO CHA UDEREVA NA UFUNDI (KPF) MOROGORO. - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

MKUU WA JESHI LA MAGEREZA NCHINI, KAMISHNA JENERALI JOHN MINJA AKIFUNGA MAFUNZO YA AWALI YA UDEREVA WA MAGARI NA MATREKA KATIKA CHUO CHA UDEREVA NA UFUNDI (KPF) MOROGORO.

Mkuu wa Jeshi la Magereza nchini, Kamishna Jenerali John Minja (katikati) akikagua gwaride la heshima la wahitimu wa mafunzo ya awali ya udereva wa magari kozi namba 18 na udereva wa matreka kozi namba 7 katika Chuo cha Udereva na Ufundi cha jeshi hilo (KPF) kilichopo Kingolwira nje kidogo ya Mji wa  Morogoro.  
Mkuu wa Jeshi la Magereza nchini, Kamishna Jenerali John Minja akimpongeza Beatrice Dugange baada ya kumpa cheti na leseni ya udereva baada ya kumaliza mafunzo ya udereva chuoni hapo. Jumla ya wanafunzi 66 walipatiwa vyeti na leseni kwa kuhitimu mafunzo hayo.  
Mkuu wa Jeshi la Magereza nchini, Kamishna Jenerali John Minja akitoa hotuba yake na baadaye kufunga mafunzo hayo ya awali.
Wanafunzi wa Shule ya Msingi Mkono wa Mara iliyopo chuoni hapo wakitumbuiza katika sherehe hiyo kwa kutoa michezo mbalimbali mbele ya mgeni rasmi, Kamishna Jenerali John Minja.
Baadhi ya wahitimu wakimsikiliza kwa makini, Mkuu wa Jeshi la Magereza nchini, Kamishna Jenerali John Minja wakati akitoa hotuba yake na baadaye kuyafunga mafunzo ya udereva wa magari kozi namba 18 na udereva wa matreka kozi namba 7. PICHA ZOTE NA  KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI, WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages