
Aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (wapili kulia)
akiambatana na wafuasi wa Chadema wakitoka nje ya Mahakama ya Rufaa
jijini Dar es Salaam jana, baada ya kusikilizwa rufaa yake ya kupinga
kuvuliwa ubunge wake. Picha na Michael Jamson
--
WAKILI wa Serikali Mkuu Timon amedai kuwa Mahakama Kuu Kanda ya
Arusha ilikosea kutengua ubunge wa aliyekuwa Mbunge wa Arusha mjini,
Godbless Lema, kwa madai ya kutumia lugha za matusi kwa kuwa Bunge
limeruhusu wanasiasa kutukanana kwenye kampeni.
Wakili Vitalis alitoa madai hayo jana, wakati wa
usikilizwaji wa rufaa ya Lema, aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo kupitia
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),katika Mahakama ya Rufani
jijini Dar es Salaam.
Wakati wakili huyo wa serikali akitoa madai hayo,
Wakili wa wajibu rufaa, ambao walishinda katika kesi ya msingi, Alute
Mughway, naye alidai kuwa Mahakama Kuu, Arusha ilikosea katika uamuzi
wake, pamoja na mambo mengine, kwa kukataa baadhi ya madai yao.Kwa habari zaidi Bofya na Endelea........>>>>>>





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)