Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akizungumza wakati wa Mhadhara wa 13 wa Kumbukumbu ya Hayati Moringe
Sokoine, uliofanyika leo, kwenye Ukumbi wa 'Nelson Mandera Freedom
Square' Kampasi ya Solomon Mahlangu, katika Chuo Kikuu cha Kilimo (SUA)
mjini Morogoro.
Sehemu
ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha SUA wakimsikiliza Makamu wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
wakati alipokuwa akitoa mhadhara wa 13 wa kumbukumbu ya Hayati
Moringe Sokoine, uliofanyika leo, kwenye Ukumbi wa 'Nelson Mandera
Freedom Square' Kampasi ya Solomon Mahlangu, katika Chuo Kikuu cha
Kilimo (SUA) mjini Morogoro.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akipokea zawadi kutoka kwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha SUA,
Alnoor Kassim, baada ya Makamu kutoa mhadhara wa 13 wa kumbukumbu ya
Hayati Moringe Sokoine, uliofanyika leo kwenye Ukumbi wa 'Nelson Mandera
Freedom Square' Kampasi ya Solomon Mahlangu, katika Chuo Kikuu cha
Kilimo (SUA) mjini Morogoro, leo.
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Home
Unlabelled
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ATOA MHADHARA CHUO KIKUU CHA KILIMO SUA MJINI MOROGORO LEO
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ATOA MHADHARA CHUO KIKUU CHA KILIMO SUA MJINI MOROGORO LEO
Share This
About Josephat Lukaza
Subscribe to:Post Comments (Atom)
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Lukaza Blog is a resources blog providing high quality articles with premium topics and well drafted. The main mission of Lukaza Blog is to provide the best quality articles which are relevance, original, truth and education materials designed and perfectlly to deliver best result for your knowledge and understanding of new things.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)