MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ATOA MHADHARA CHUO KIKUU CHA KILIMO SUA MJINI MOROGORO LEO - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ATOA MHADHARA CHUO KIKUU CHA KILIMO SUA MJINI MOROGORO LEO

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza wakati wa Mhadhara wa 13 wa Kumbukumbu ya Hayati Moringe Sokoine, uliofanyika leo, kwenye Ukumbi wa 'Nelson Mandera Freedom Square' Kampasi ya Solomon Mahlangu, katika Chuo Kikuu cha Kilimo (SUA) mjini Morogoro.
 Sehemu ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha SUA wakimsikiliza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, wakati alipokuwa akitoa mhadhara wa 13 wa kumbukumbu ya Hayati Moringe Sokoine, uliofanyika leo, kwenye Ukumbi wa 'Nelson Mandera Freedom Square' Kampasi ya Solomon Mahlangu, katika Chuo Kikuu cha Kilimo (SUA) mjini Morogoro.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipokea zawadi kutoka kwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha SUA, Alnoor Kassim, baada ya Makamu kutoa   mhadhara wa 13 wa kumbukumbu ya Hayati Moringe Sokoine, uliofanyika leo kwenye Ukumbi wa 'Nelson Mandera Freedom Square' Kampasi ya Solomon Mahlangu, katika Chuo Kikuu cha Kilimo (SUA) mjini Morogoro, leo.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages