WAREMBO WA MISS TANZANIA WAKIJIACHIA GIRAFFE HOTEL - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

WAREMBO WA MISS TANZANIA WAKIJIACHIA GIRAFFE HOTEL

 Baadhi ya Warembo wa Redd's Miss Tanzania 2012,  wakielekea kupata chakula cha mchana wakati wakiwa katika kambi yao inayoendelea kwenye Hoteli ya Giraffe, Mbezi Beach jijini Dar es Salaam. 
 Mrembo akiwa katika pozi.....
 Warembo wakiwa katika pozi.....
 Mrembo akijiachia.....kimodel.....
 Mrembo akipozi kwa picha......
 Warembo wa Redd's Miss Tanzania 2012,wakiwa katika picha ya pamoja katika kambi yao iliyopo kwenye hoteli ya Geraffe,Mbezi Beach jijini Dar es Salaam. Kambi hiyo ina jumla ya warembo 30 waliowasili katika maandalizi ya kuelekea shindano la fainali za Miss Tanzania 2012, ili kumpata Mrembo atakayemrithi,Salha Israel, ambaye anashikilia Taji hilo hivi Sasa, ambapo fainali za mwaka huu zinatarajia kufanyika Novemba 3, katika hoteli ya Blue Peal,Ubungo Plaza jijini Dar.
 Warembo wakijiachia kuelekea kupata menu.....
 Ni kama wanajifua na 'Cut Work'........kumbe wanawahi Menu tu......
 Menu kwanza..........

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages