Huko Arusha timu ya Yanga ilikuwa
mgeni wa timu ya JKT Oljoro ya huko katika mchezo uliofanyika kwenye
uwanja wa Sheikh Amri Abeid, ambapo Yanga imeibuka na ushindi wa goli
moja lililofungwa na Mchezaji Mbuyu Twite
-





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)