Habari za kazi naitwa Ngwesa Paulo mhitimu wa shahada ya utalii chuo
kikiuu cha Dodoma. nimechukua fursa hii kukuomba kutambulisha blog yangu
katika blo yako ili iweze kujulikana pamoja na wasomaji wengi kwani
katika ushirikiano naamini tutalifisha Taifa hili mahara pazuri.
Blog hii inalenga kutoa habari kuhusiana na utalii wetu hapa Tanzania na kuwaonesha watu nini huwa kinafanyika kule ili kutoa hamasa ya watu kujua zaidi kuhusu utali na kujitokeza katika utalii wa ndanii. Pia ni sehem Nzuri kwa watu walio mashuleni kujifunza kwa kuona mambo yanavyofanyika kule. Blog hii inakwenda kwa Jina la NGWESA http://ngwesa.blogspot.com
Blog hii inalenga kutoa habari kuhusiana na utalii wetu hapa Tanzania na kuwaonesha watu nini huwa kinafanyika kule ili kutoa hamasa ya watu kujua zaidi kuhusu utali na kujitokeza katika utalii wa ndanii. Pia ni sehem Nzuri kwa watu walio mashuleni kujifunza kwa kuona mambo yanavyofanyika kule. Blog hii inakwenda kwa Jina la NGWESA http://ngwesa.blogspot.com







No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)