KUTOKA ZANZIBAR KUNDI LA UAMSHO LACHOMA MOTO BAADHI YA VITU BARABARANI MARA BAADA YA VURUGU KUBWA KUTOKEA KATI YAO NA POLISI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

KUTOKA ZANZIBAR KUNDI LA UAMSHO LACHOMA MOTO BAADHI YA VITU BARABARANI MARA BAADA YA VURUGU KUBWA KUTOKEA KATI YAO NA POLISI

Baadhi ya Wakazi wa Zanzibar Wakichoma Vitu barabarani katika vurugu zinazoendelea Hivi sasa Huko Zanzibar.Kundi la UAMSHO lilianza kuleta tafrani baada ya kiongozi wao kutekwa na kupelekwa kusikojulikana..Tunazidi kutoa taarifa kadri zinavyotufikia kutoka kwa ripota wetu

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages