Ivon John akikata keki huku dada yake wa shule Hapy ambaye anaingia kidato cha sita mwaka ujao akimuangalia.
Ivon akipozi kwa picha na zawadi zake.
Kamanda Kova amewaasa wanafunzi hao
kuwa na nidhamu katika masomo yao kwani nidhamu ndiyo inayozaa mafanikio
yote katika maisha ya binadamu, usipokuwa na nidhamu hata ungekuwa na
akili ya kiwango gani bila nidhamu utashindwa tu, na hautaweza kupata
mafanikio yoyote.
Akaongeza
na kusema "kwa sasa ajira ni ngumu hivyo msisome kwa malengo ya
kuajiriwa someni kwa malengo ya kuwa wajasiriamali na kubuni zaidi
shughuli za kufanya kuliko kufikiria ajira kwani hivi sasa wapo wasomi
wengi ambao wako mtaani na digrii zao"
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)