Waziri wa mambo ya ndani Dk Emmanuel Nchimbi akitoa hotuba yake wakati wa wa uzinduzi wa wiki ya Nenda kwa usalama barabarani iliyozinduliwa leo mkoani Iringa katika Uwanja wa Samora mjini Iringa huku viongozi mbalimbali wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani na mabaraza mbalimbali kutoka mikoani wakihudhuria katika muzinduzi huo.
Maafisa mbalimbali wa kikosi cha usalama barabarani kutoka makao makuu nao wamekuwepo katika maadhimisho hayo ili kuhakikisha mambo yanakwenda sawa





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)