Home
Unlabelled
Taswira mbalimbali za Ziara rasmi ya Rais Jakaya Kikwete Nchini Kenya
Taswira mbalimbali za Ziara rasmi ya Rais Jakaya Kikwete Nchini Kenya
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete
na Mama Salma Kikwete wakiwa katika hafla ya kutoa heshima zao na
kuweka mashada ya maua kwenye Kaburi la Mwanzilishi wa Taifa la Kenya,
Hayati Jomo Kenyatta jijini Nairobi Septemba 12, 2012 akiwa katika
Ziara Rasmi ya Kiserikali (State Visit) ya siku tatu ambayo ni ziara
yake ya kwanza rasmi nchini humo ingawa amefanya ziara kadhaa za kikazi
nchini Kenya.
Rais jakaya kikwete akiweka shada la maua kwenye kwenye
Kaburi la Mwanzilishi wa Taifa la Kenya, Hayati Jomo Kenyatta
jijini Nairobi Septemba 12, 2012 akiwa katika Ziara Rasmi ya
Kiserikali (State Visit) ya siku tatu ambayo ni ziara yake ya kwanza
rasmi nchini humo ingawa amefanya ziara kadhaa za kikazi nchini Kenya.
Mama Salma Kikwete akiweka shada la maua kwenye
Kaburi la Mwanzilishi wa Taifa la Kenya, Hayati Jomo Kenyatta
jijini Nairobi Septemba 12, 2012 akiwa katika Ziara Rasmi ya
Kiserikali (State Visit) ya siku tatu ambayo ni ziara yake ya kwanza
rasmi nchini humo ingawa amefanya ziara kadhaa za kikazi nchini Kenya.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete
akiweka jiwe la msingi katika jengo jipya la kutengeneza maziwa ya unga
katika Kiwanda cha Maziwa cha Brookside Diary kwenye Barabara ya Thika
nje kidogo ya jiji la Nairobi. Kushoto ni Mwenyekiti wa kampuni ya
Brookside Diary Bw. Muhoho
Rais
Kikwete akiangalia mchoro wa ujenzi wa jengo la kutengeneza maziwa ya
unga wa kiwanda hicho. Anayemuelekeza ni Mwenyekiti wa kampuni ya
Brookside Diary Bw. Muhoho Kenyatta,
Rais Kikwete akiangalia kondoo wanaofugwa kisasa katika shamba la kiwanda hicho
Rais
Kikwete akiangalia ng'ombe wanaofugwa kisasa katika shamba la kiwanda
hicho, n6- Rais Kikwete akiangalia kondoo wanaofugwa kisasa katika
shamba la kiwanda hicho, n7- Rais Kikwete akiangalia mchoro wa ujenzi wa
jengo la kutengeneza maziwa ya unga wa kiwanda hicho. Anayemuelekeza
ni Mwenyekiti wa kampuni ya Brookside Diary Bw. Muhoho Kenyatta,
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho
Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wenyeji wake baada ya
kutembelea Kituo cha Magonjwa ya Moyo na Kansa kwenye Hospitali ya Chuo
Kikuu cha Aga Khan jijini Nairobi Septemba 12, 2012 akiwa katika Ziara
Rasmi ya Kiserikali (State Visit) ya siku tatu ambayo ni ziara yake
ya kwanza rasmi nchini humo ingawa amefanya ziara kadhaa za kikazi
nchini Kenya.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho
Kikwete akitembelea Chuo cha Taifa cha Ulinzi cha Kenya (National
Defence College) kilichoko Karen, Nairobi,
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete
akiwa katika picha ya pamoja n ujumbe wake na wanachuo na viongozi wa
chuo hicho baada ya kukitembelea Chuo cha Taifa cha Ulinzi cha Kenya
(National Defence College) kilichoko Karen, Nairobi, Picha na IKULU
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)
Lukaza Blog is a resources blog providing high quality articles with premium topics and well drafted. The main mission of Lukaza Blog is to provide the best quality articles which are relevance, original, truth and education materials designed and perfectlly to deliver best result for your knowledge and understanding of new things.
Mkurugenzi Mkuu Mstaafu wa Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa NHIF Mzee Emannuel Humba akionyesha tuzo yake aliyopewa na mfuko huo kwa kutambua...
Contact Form
About Me
Hello, my name is Josephat Lukaza. I've 12 years in Blogging and An Award Winner for the BEST Political Blog in African Bloggers Awards in 2015 Learn More →
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)