SERIKALI YA CHINA YAKABIDHI KOMPYUTA NA VITABU KWA MAKTABA YA TAIFA (TLSB) - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

SERIKALI YA CHINA YAKABIDHI KOMPYUTA NA VITABU KWA MAKTABA YA TAIFA (TLSB)

 Mkurugenzi Mkuu wa Maktaba ya Taifa (TLSB) nchini Dkt. Alli Mcharazo (kushoto) akifanya makabidhiano na Mwakilishi wa Serikali ya China, Ling U, wakati wa makabidhiano hayo yaliyofanyika leo jijinii Dar es salaam. ambapo Serikali ya watu wa China imekabidhii vitabu hivyo vya kusomea, komputa na mashelfu ya kuwekea vitabu katika maktaba ya  taifa ya vitabu nchini (TLSB).
 Wanahabari wakiwajibika wakati wa hafla hiyo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Selestine Gisimba, akijaribu kutumia moja ya kaomputa zilizokabidhiwa na Serikali ya watu wa China kwaajili ya matumizi ya maktaba kuu ya taifa nchini,leo  katika hafla ya makabidhiano hayo yaliyofanyika leo jijini Dar es Salaam. Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages