Rais wa Zanzibar Dk Ali Shein Akutana na Balozi wa India nchini Tanzania Debnath Shaw - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Rais wa Zanzibar Dk Ali Shein Akutana na Balozi wa India nchini Tanzania Debnath Shaw

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akifuatana na Balozi wa India nchini Tanzania Debnath Shaw alipofika Ikulu Mjini Zanzibar,kujitambulisha kwa Rais leo.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Balozi wa India nchini Tanzania Debnath Shaw alipofika Ikulu Mjini Zanzibar,kujitambulisha kwa Rais leo.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akizungumza na Balozi wa India nchini Tanzania Debnath Shaw alipofika Ikulu Mjini Zanzibar,kujitambulisha kwa Rais leo.Picha na Ramadhan Othman,Ikulu-Zanzibar

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages