Rais Jakaya Kikwete na Waziri Wa Mambo Ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe Wakipokea Viongozi Mbalimbali Kushiriki kikao cha siku moja cha asasi Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi ya Kusini mwa Afrika(SADC TROIKA) - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Rais Jakaya Kikwete na Waziri Wa Mambo Ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe Wakipokea Viongozi Mbalimbali Kushiriki kikao cha siku moja cha asasi Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi ya Kusini mwa Afrika(SADC TROIKA)

Rais Joseph Kabila akiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere jana
 Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mh.Shamsi Vuai Nahodha akimpokea Waziri wa Ulinzi na Veterani wa Jeshi wa  Afrika Kusini Bi. Nosiviwe Mapisa-Nqakula.
 Rais Joseph Kabila akipeana mikono na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es salaam Bw. Suleiman Kova wakati alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere akiwa na mwenyeji wake Rais Jakaya Kikwete. Rais Kabila alihudhuria mkutano huo kama mgeni mwalikwa.
 Rais Jakaya Kikwete akimpokea  Rais Hifikepunye Pohamba wa Namibia  Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere akiwa na mwenyeji wake Rais Jakaya Kikwete
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membe akimlaki Waziri wa Ulinzi na Veterani wa Jeshi wa  Afrika Kusini Bi. Nosiviwe Mapisa-Nqakula jana.Picha na IKULU

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages