GEPF WAZINDUA BODI MPYA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

GEPF WAZINDUA BODI MPYA

Katibu Mkuu Wizara ya fedha, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Ramadhan  Khijah akizungumza wakati wa uzinduzi wa bodi mpya wa wakurugenzi ya Mfuko wa Akiba ya Wafanyakazi (GEPF) uliofanyika jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki. Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Akiba ya wafanyakazi GEP, Daud Msangi na Mwenyekiti mpya wa bodi ya GEPF, Joyce Shahidi. (Picha na Dande JR)
 Mkurugenzi Mkuu wa GEPF, Daud Msangi
 Mwenyekiti wa bodi iliyomaliza muda wake ya Mfuko wa wa Akiba ya Wafanyakazi (GEPF), iliyomaliza muda wake, Monica Mwamunyange akizungumza katika hafla hiyo.

 Meneja Masoko wa GEPF, Aloyce Ntukamazina akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa bodi hiyo
 Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Ramadhan  Khijah akimkabidhi zawadi,Mwenyekiti wa bodi iliyomaliza muda wake ya Mfuko wa wa Akiba ya Wafanyakazi (GEPF), iliyomaliza muda wake, Monica Mwamunyange kutokana na mafanikio yaliyopatikana kwa kipindi cha uongozi wake

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages