FAINALI YA REDD'S MISS KANDA YA ILALA KUFANYIKA KESHO IJUMAA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

FAINALI YA REDD'S MISS KANDA YA ILALA KUFANYIKA KESHO IJUMAA

 Meneja wa kinywaji cha Redds Original Victoria Kimaro kulia akizungumza na waandishi wa habari kuhusu fainali ya redds Miss kanda ya Ilala inayotarajia kufanyika kesho ijumaa katika ukumbi wa nyumbani uliopo namnga jijini Dar Es Salaam .katikati ni Mratibu wa shindano hilo Juma Madabila na Msanii Steven Nyerere
Steven nyerere akizungumza na waandishi wa habari

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages