Rais
wa chama cha walimu (CWT) Tanzania Mwalimu Gratian Mukoba akiongea na
waandishi wa habari leo makao makuu ya chama hicho jijini Dar es salaam
leo juu ya kuzinduliwa kwa baraza la majadiliano ya pamoja kwenye
utumishi wa walimu, kwa mujibu wa Gratian mukoba amesema baraza hilo
kazi yake itakuwa kuishauri serikali kuhusu njia mbalimbali za kuzuia
kutokea kwa migogoro baina ya walimu na serikali, Aidha alisema chama cha walimu
CWT kimelaani kwa nguvu zote kwa kuuwawa kwa aliekuwa mwandishi wa
habari wa kituo cha channel Ten Daudi Mwangosi na kutoa wito kwa
wahusika waliofanya kitendo hicho wakibainika wafikishwe kwenye vyombo
vya sheria.kushoto kwake Kaimu Katibu Mkuu wa Chama cha Walimu
Tanzania (CWT), Ezekiel Oluoch
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Home
Unlabelled
CHAMA CHA WALIMU TANZANIA (CWT) CHALAANI MAUAJI YA MAREHEMU MWANGOSI
CHAMA CHA WALIMU TANZANIA (CWT) CHALAANI MAUAJI YA MAREHEMU MWANGOSI
Share This
About Josephat Lukaza
Subscribe to:Post Comments (Atom)
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Lukaza Blog is a resources blog providing high quality articles with premium topics and well drafted. The main mission of Lukaza Blog is to provide the best quality articles which are relevance, original, truth and education materials designed and perfectlly to deliver best result for your knowledge and understanding of new things.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)