Waziri Mkuu Mizengo Pinda Aagana na balozi wa Jamhuri ya Korea nchini Aliyemaliza Muda Wake,Bw.Young- Hoon Kim - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Waziri Mkuu Mizengo Pinda Aagana na balozi wa Jamhuri ya Korea nchini Aliyemaliza Muda Wake,Bw.Young- Hoon Kim

 Waziri Mkuu Mizengo Pinda akimkabidhi zawadi ya picha, balozi wa Jamhuri ya Korea nchini aliyemaliza muda wake, Bw. Young- Hoon Kim ambaye alikwenda Ofisini kwa Waziri Mkuu Agust 23 2012 kuaga.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akisalimiana na Balozi wa Jamhuri ya Korea nchini, Bw. Young-Hoon Kim ambaye alikwenda Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Agust 23, 2012 kuaga.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages