SIMBA YATWAA UBINGWA WA MICHUANO YA SUP8R - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

SIMBA YATWAA UBINGWA WA MICHUANO YA SUP8R

 Wachezaji wa timu ya Simba wakishangilia na kombe lao baada ya kuifunga Mtibwa Sugar kwa mabao 4-3 katika mchezo wa fainali ya michuano ya SUP8R uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam
 Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk. Fenella  Mh. Dk Fenella Mkangala akiwapa medali wachezaji wa Simba. 
 Wachezaji wa Simba wakimbeba kocha wao Suleiman Matola baada ya mchezo
 Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage akiwapungia mkono mashabiki wa Simba.
 Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk. Fenella Mh. Dk Fenella Mkangala akimkabidhi kombe nahodha wa Simba, Edward Christopher
 Furaha ya ushindi.
Picha kwa Hisani ya Habari Mseto Blog

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages