Roma Mkatoli,TMK Wanaume wanogesha bonanza Grand Mallt & Vita Malt coco beach leo - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Roma Mkatoli,TMK Wanaume wanogesha bonanza Grand Mallt & Vita Malt coco beach leo

Msanii mkali wa Muziki wa Hip Hop hapa nchini,Roma Mkatoliki akitoa burudani kabambe kwa washabiki wake walikuwa wamefukika kwa wingi katika viwanja vya Fukwe ya Coco Beach,jijini Dar es Salaam jioni ya leo ikiwa ni bonanza la vinywaji visivyo na kilevu vya Grand Malt na Vita Malt kutoka kampuni ya bia Tanzania (TBL).
Wasanii wa Kundi la TMK Wanaume Family,Chegge na Temba wakifanya vitu vyao wakati wa Bonanza na Grand Malt na Vita Malt,kwenye viwanja vya Fukwe ya Coco Beach jijini Dar es Salaam leo.
Bibi. Cheka kutoka TMK wanaumeeee akichana ile michano ya kifree style mbele ya umati wa watu uliokuwa umefurika kwenye viwanja vya fukwe ya Coco Beach,jijini Dar es Salaam leo.
Temba na Chegge wakikamua kisawasawa.
Mh. Temba na Bibi Cheka wapienda sambamba.
Chegge kazini.
Jukwaa la ukweli na lakisasa ndilo lililokuwa limefungwa leo.
Dogo mwingine kutoka TMK Wanaume Family aitwae Mwarami Hamis a.k.a Dogo Muu akifamua stejini.
Nyomi lilikuwa ni la kufa mtu ufukweni hapo.
Wazee wa kuchana wakipena makavu stejini.
Wazee wa Kugansi.
Mwanamke nyongaaaaa.Picha Kwa Hisani Ya Michuzi Blog

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages