Pamoja
na Polisi wa usalama barabarani manispaa ya Iringa wakikamata gari
(Yenye rangi nyeupe) ambalo lilikuwa limeegeshwa eneo ambalo limewekwa
alama inayokataza magari kuegeshwa wakati huo huo gari lingine dogo
likiwa limeegeshwa chini ya Kibao Kinachokatazwa Kuegeshwa magari ndio
kusema alama hii haionekani, au askari polisi hao hawalioni gari hilo au
mwenye gari hili yupo juu ya sheria na kupelekea kuvunja sheria hiyo
ya barabarani?
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Home
Unlabelled
NDIO KUSEMA ALAMA HII HAIONEKANI AU NI KIBURI TU CHA MADEREVA?
NDIO KUSEMA ALAMA HII HAIONEKANI AU NI KIBURI TU CHA MADEREVA?
Share This
About Josephat Lukaza
Subscribe to:Post Comments (Atom)
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Lukaza Blog is a resources blog providing high quality articles with premium topics and well drafted. The main mission of Lukaza Blog is to provide the best quality articles which are relevance, original, truth and education materials designed and perfectlly to deliver best result for your knowledge and understanding of new things.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)