NDIO KUSEMA ALAMA HII HAIONEKANI AU NI KIBURI TU CHA MADEREVA? - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

NDIO KUSEMA ALAMA HII HAIONEKANI AU NI KIBURI TU CHA MADEREVA?

Pamoja na Polisi wa usalama barabarani manispaa ya Iringa wakikamata gari (Yenye rangi nyeupe) ambalo lilikuwa limeegeshwa eneo ambalo limewekwa alama inayokataza magari kuegeshwa wakati huo huo gari lingine dogo likiwa limeegeshwa chini ya Kibao Kinachokatazwa Kuegeshwa magari ndio kusema alama hii haionekani, au askari polisi hao hawalioni gari hilo au mwenye gari hili yupo juu ya sheria na  kupelekea kuvunja sheria hiyo ya barabarani?

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages