MAMIA WAJITOKEZA KUONYESHA VIPAJI VYAO COCO BEACH. - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

MAMIA WAJITOKEZA KUONYESHA VIPAJI VYAO COCO BEACH.

Mchujo wa shindano kubwa la kuibua vipaji vya wasanii nchini la Epiq bongo Stars Search leo limetinga jijini Dar es salaam na maelfu ya vijana wamemiminika katika ufukwe wa Coco Beach jijini hapa kutafuta bahati yao ya kuingia katika fainali hizo/ Pichani ni  Christopher akiwa na swaga zake.
Watu wengine wanavipaji vingi, mbali na kuimba ni comedian wazuri, hawa jamaa walikuwa ni wachekeshaji wazuri wa wenzao wakati wakisubiri kuingia katika mchujo wa  Washiriki Waiwilli Wa Epiq Bss Waliokuwa Wanawafurahisha  Washiriki Wenzao Walivyokuwa Wanasubiri Kuingia kwa Majaji
 Mwakilishi wa mpango wa Damu Salama akimpa mmoja wa washirtiki wa shindano la EBSS maelezo juu ya shughuli ya uchangiaji damu.
 mamia ya washiriki waliojitokeza katika mchujo wa EBSS mkoa wa Dar es Salaam wakiwa katika foleni ya kuingia kwa majaji hii leo Coco Beach jijini hapa.
 Caesar Daniel, Leon Coetzer Na Swede Wa Benchmark Wakiwahoji Washiriki
 jaji Salama Jabir akimsikiliza mmoja wa washiriki kwa makini kabisa.
 Mshiriki Akiimba Mbele Ya Majaji
 umati wa watu ukiwa umetapakaa uwanjani kila mmoja akifanya mazoezi kivyake.
Mwana dada akijaribu bahati yake mbele ya majaji hii leo jijini Dar es Salaam.Picha Kwa Hisani ya Father Kidevu Blog

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages