Karani wa Sensa Bibi Maryam Fatawi akiuliza maswali kwa Makamu wa Pili
wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi ambaye ni Mkuu wa Kaya yake
hapo nyumbani kwake Mazizini nje kidogo ya mji wa Zanzibar. Kulia ya
Balozi Seif ni Mkewe Mama Asha Suleiman Iddi
Mwenyekiti Mwenza wa Kamati Kuu ya Taifa ya Sensa Tanzania ambae pia ni
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akielezea
changamoto zilizojitokeza tokea kuanza kwa zoezi la sense ya watu na
makazi nyumbani kwake Mazizini nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)