Kiongozi wa wacheza shoo wa Bendi ya Extra Bongo, Super Nyamwela akigawa futari kwa watoto wa New Life Orphans Home
Kiongozi wa Bendi ya Extra Bongo, Rogert Hegga Carterpillar, akigawa futari kwa watoto wa New Life Orphans Home
Baadhi ya watoto wa kituo hicho wakifuturu
Rais wa Bendi ya Extra Bongo, Ali Choki akifuturu pamoja na watoto wa kituo hicho
Maseneta wa Extra Bongo wakipata futari wakati bendi yao ilipofuturisha watoto yatima
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)