Kuanzia
mwaka mpya wa fedha (2012-2013) Mamlaka ya Mapato Tanzania imeanza
kusajili magari kwa kutumia majina ikiwa ni nyongeza ya kutumia namba
kama ilivyokuwa imezoeleka na wengi. Pichani juu na chini ni gari la
kwanza kupewa usajili huo wa kutumia jina la mmiliki wake.
-







No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)