Waziri
wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt. Shukuru Kawambwa (kushoto)
akikabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya Shilingi 26,000,000 kwa
mwakilishi wa Hassan Maajar Trust (HMT) na Andrew Hogson, Kaimu Meneja
Mkuu wa tiGo akishuhudia. Fedha hizo zitatumika kununulia na kugawa
madawati katika shule tano kutoka wilaya za Makete na Njombe. Shule
zitakazonufaika ni Maendeleo (135), Umoja (196), Kumbila (200), Makonde
(152) na Mbela (37).
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Home
Unlabelled
WAZIRI WA ELIMU, SHUKURU KAWAMBWA AKABIDHI FEDHA ZA MADAWATI KUTOKA TIGO
WAZIRI WA ELIMU, SHUKURU KAWAMBWA AKABIDHI FEDHA ZA MADAWATI KUTOKA TIGO
Share This
About Josephat Lukaza
Subscribe to:Post Comments (Atom)
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Lukaza Blog is a resources blog providing high quality articles with premium topics and well drafted. The main mission of Lukaza Blog is to provide the best quality articles which are relevance, original, truth and education materials designed and perfectlly to deliver best result for your knowledge and understanding of new things.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)