-Baadhi ya Wakufunzi wa Sensa ya Watu na Makaazi ya mwaka 2012
Ngazi ya Mkoa waliohudhuria katika Mafunzo ya Wakufunzi hao iliofanyika
huko Tunguu Wilaya ya Kati Unguja.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi akitoa hotuba ya
Ufunguzi wa Mafunzo ya Wakufunzi wa Sensa ya Watu na Makaazi ya Mwaka
2012 Ngazi ya Mkoa iliofanyika huko Tunguu Wilaya ya Kati Unguja.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi akisisitiza
jambo katika mahojiano na Mwandishi wa Habari wa TBC Haji Bwegege
kuhusiana na suala zima la Sensa huko Tunguu katika Ufunguzi wa Mafunzo
ya Wakufunzi wa Sensa ya Watu na Makaazi ya Mwaka 2012 Ngazi ya Mkoa
Zanzibar.
Mtakwimu Mkuu wa Serikali ya Zanzibar Mohamed Hafidh Rajab akifafanua
jambo kuhusiana na Sensa ya Watu na Makaazi 2012 katika mahojiano yake
na Mwandishi wa Habari wa Idara ya Habari Maelezo Zanzibar Fakih Mjaka
huko katika Ufunguzi wa Mafunzo ya Wakufunzi wa Sensa ya Watu na Makaazi
ya Mwaka 2012 Ngazi ya Mkoa Zanzibar. PICHA ZOTE NA YUSSUF SIMAI -MAELEZO ZANZIBAR.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)