Rais Wa Zanzibar Dk Ali Shein Ashiriki Hafla ya Maadhimisho ya Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa iliyofanyika Katika Viwanja Vya Mnazi mmoja Jijini Dar es Salaam - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Rais Wa Zanzibar Dk Ali Shein Ashiriki Hafla ya Maadhimisho ya Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa iliyofanyika Katika Viwanja Vya Mnazi mmoja Jijini Dar es Salaam

 
  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akibadilishana mawazo na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadik, baada ya kumalizika hafla ya Maadhimisho ya siku ya kumbukumbu ya Mashujaa,yaliyofanyika leo katika viwanja vya Mnazi mmoja palipojengwa Mnara Jijini Dar es Salaam.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam,Didas Mtatiro, wakati wa Maadhimisho ya siku ya kumbukumbu ya Mashujaa,yaliyofanyika leo katika viwanja vya Mnazi mmoja palipojengwa Mnara Jijini Dar es Salaam
  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na baadhi ya Wazee waliopigania Uhuru wa Tanzania wakati wa Maadhimisho ya siku ya kumbukumbu ya Mashujaa,yaliyofanyika leo katika viwanja vya Mnazi mmoja palipojengwa Mnara Jijini Dar es Salaam
 Baadhi ya Wananchi wa Jijini Dar es Salaam waliohuduria katika Maadhimisho ya siku ya kumbukumbu ya Mashujaa,yaliyofanyika leo katika viwanja vya Mnazi mmoja palipojengwa  Mnara Jijini Dar es Salaam,wakifuatilia kwa makini utaratibu wa shuhuli ulivyoendelea.Picha na Ramadhan Othman,Ikulu-Zanzibar

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages