
Rais
Jakaya Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiteta jambo na Mwanasoka Nyota
wa Uingereza David Beckham Walipokutana uwanja wa Ndege wa Heathrow
Jijini London wakati Rais Jakaya Kikwete akiwa njiani kuelekea
Washington DC Kwenye mkutano wa G8 Kwa Mwaliko Maalum kutoka kwa Rais wa
Marekani Barack Obama,Pamoja na mambo mengine David Beckham ameonyesha
nia ya kuja Kutalii Tanzania siku za karibuni na Rais Kikwete
amemkaribisha kwa mikono miwili





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)