MSHINDI WETU WA BAJAJ KATIKA PROMOSHENI YA "VUMBUA HAZINA CHINI YA KIZIBO" AKABIDHIWA ZAWADI YAKE - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

MSHINDI WETU WA BAJAJ KATIKA PROMOSHENI YA "VUMBUA HAZINA CHINI YA KIZIBO" AKABIDHIWA ZAWADI YAKE

Meneja Masoko wa kampuni ya Serengeti Breweries Ltd (SBL) Kanda ya Ziwa, Patrick Kisaka, kushoto akizungumza na waandishi wa habari muda mfupi kabla ya kumkabidhi mshindi wa Bajaj wa shindano la Vumbua hazina chini ya kizibo, kulia ni Meneja Mauzo wa SBL Mwanza, Octavian Migire.
Meneja wa Mauzo wa Kampuni ya bia ya Serengeti kanda ya ziwa  Bw Patrick Kisaka akikabidhi  Bajaj kwa mshindi wa huyo katika promosheni ya VUMBUA HAZINA CHINI YA KIZIBO na SBL, Bw. Godfrey Shao mkazi wa mkoa wa Mwanza ambaye alijishindia pikipiki ya matairi matatu( BAJAJ) kupitia bia ya Tusker Lager
Godfrey Shao amesema hakutegemea hata siku moja kupata zawadi kubwa kama ile na kwamba ameishukuru sana kampuni ya bia ya Serengeti kwa kubadilisha maisha yake kwani  sasa anaweza kujiajiri na kuwasaidia wale wanaomtegemea
Bw Godfery Shao ndani ya Bajaj yake akipongezwa na wafanyakazi, wawakilishi, wapenzi na wadau wa kampuni ya bia ya Serengeti baada ya kukabidhiwa Bajaj yake  mpya kabisa

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages