MKUTANO WA JUMUIYA YA MADOLA WAENDELEA NCHINI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MKUTANO WA JUMUIYA YA MADOLA WAENDELEA NCHINI

Katibu Mkuu wa CCM,Wilson Mkama akizungumza na wana habari

Mbunge wa Ubungo Mh John Mnyika akizungumza na waandishi wa habari wakati wa mkutano wa jumuiya ya madola kujadili maswala ya Bunge, Serikali pamoja na vyama vya upinzani
Mgeni Mwalikwa katika Mkutano wa jumuiya ya Madola aliyekuwa Rais wa Nchi ya Ghana Bw. Jerry Rawlings kushoto akizungumza na waandishi wa habari Dar es salaam leo katika mkutano wa jumuiya ya madola kujadili Bunge Serikali pamoja na vyama vya upinzani katika jumuiya hiyo

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages