MAELFU WAJITOKEZA KUAGA MWILI WA MAREHEMU MAFISANGO LEO KATIKA VIWANJA VYA TCC CHANG'OMBE - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MAELFU WAJITOKEZA KUAGA MWILI WA MAREHEMU MAFISANGO LEO KATIKA VIWANJA VYA TCC CHANG'OMBE

Waziri wa  Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mh. Samuel Sitta akilia kwa uchungu baada ya kuaga mwili wa aliyekuwa mchezaji wa kimataifa wa Klabu ya Simba Patrick Mafisango.
Tulikupenda sana Kampumzike kwa Amani.
Mchezaji wa Simba Haruna Moshi a.k.a Boban akiwa haamini macho yake baada ya kuutazama mwili wa mchezaji mwenzake. Aliyemshikilia ni Mwenyekiti wa Simba SC Ismail Aden Rage.
Juma Kaseja akilia kwa uchungu.
Mshambuliaji wa Simba Emmanuel Okwi akiaga.
Wachezaji wa timu ya Taifa “Taifa Stars” wakitoa heshima za mwisho.
“Kwa heri Mafisango”
Mashabiki wakilia kwa uchungu.
Kikosi cha Redcross wakitoa huduma ya kwanza. Picha zote kwa hisani ya Mo Blog

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages