Mtandao huu wa www.francisgodwingodwin.blogspot.com umeshuhudia hali hiyo jioni ya leo baada kufika eneo hilo .
Taarifa zaidi juu ya uamuzi wa wakala wa barabara mkoa wa Iringa juu ya uamuzi huo wa wanachuo kuziba barabara kutaka matuta itakujia kesho baada ya leo kutomta msemaji wa juu ya Tanroads mkoa wa Iringa ili kuzungumzia hali hiyo
Picha zote kwa hisani ya Francis Godwin





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)