Vodacom yakabidhi kitita cha Milioni 10/- kwa Mshindi wa Pili wa Promosheni ya M-Pesa - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Vodacom yakabidhi kitita cha Milioni 10/- kwa Mshindi wa Pili wa Promosheni ya M-Pesa

Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Bw. Rene Meza (kushoto) akimkabidhi mshindi wa pili wa droo kubwa ya mwezi ya promosheni ya M-pesa Bw. Revocatus Mkama (kulia) fedha taslimu shilingi milioni kumi  katika hafla fupi iliyofanyika katika Makao makuu ya Vodacom Tanzania Mlimani City jijini Dar es salaam.
Mshindi wa pili wa droo kubwa ya mwezi ya promosheni ya M-pesa Bw. Revocatus Mkama ambaye pia ni mkazi wa Mwanza anayejishughulisha na ufundi wa magari akifurahia kitita cha shilingi milioni kumi alizoshinda kupitia promosheni ya M-pesa mara baada ya kukabidhiwa fedha hizo na Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Bw. Rene Meza.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages