Vimwana Wa Miss Ukonga Wajifua - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Vimwana Wa Miss Ukonga Wajifua

Baadhi ya warembo wanaoshiriki shindano la kumsaka Malikia wa Kitongoji cha Ukonga jijini Dar es Salaam wakiwa katiika picha ya pamoja wakati wakiendelea na mazoezi yao ya kujiandaa na shindano hiklo jana. Shindano la Miss Ukonga linataraji kufanyika Mei 5,2012 katika ukumbi wa Wenge Garden-Ukonga Mombasa. 
Baadhi ya warembo wanaoshiriki shindano la Miss Ukonga 2012 wakimsikiliza msanii nguli wa Filamu na Maigizo nchini, Single Mtambalike "Rich Rich" wakati alipokuwa akizungumza nao jana katika kambi yao ya mazoezi jijini Dar es Salaam.Shindano la Miss Ukonga linataraji kufanyika Mei 5,2012 katika ukumbi wa Wenge Garden-Ukonga Mombasa.Picha na Habari zimeletwa na  Mroki Mroki

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages