Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Masidizi Katibu Mkuu na Mkurugenzi
Mtendaji wa Masuala ya Sera na Miradi,Kitengo cha UN Women,Mr John
Hendra,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar jana.(06/03/2012)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Maidizi Katibu Mkuu na Mkurugenzi
Mtendaji wa Masuala ya Sera na Miradi,Kitengo cha UN Women,Mr John
Hendra,pamoja na ujumbe aliofuatana nao walipofika Ikulu Mjini
Zanzibar jana.(06/03/2012)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Maidizi Katibu Mkuu na Mkurugenzi
Mtendaji wa Masuala ya Sera na Miradi,Kitengo cha UN Women,Mr John
Hendra,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar jana.(06/03/2012) ambapo pia maafisa mbalimbali wa Serikali walihudhuria





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)