Nape afanya makamuzi na Twanga Pepeta - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Nape afanya makamuzi na Twanga Pepeta

https://mail-attachment.googleusercontent.com/attachment/?ui=2&ik=3530edf2ab&view=att&th=135f8b64218b6198&attid=0.4&disp=inline&realattid=f_gzljywex3&safe=1&zw&saduie=AG9B_P-pMeAX8Bj6uum_JO85Z8o9&sadet=1331319108384&sads=HvfF6k9qOA2INZc4Khhgd5-oWVs
Hapa akionyesha mautundu katika Tumba, pembeni yake ni Victor Nkambi na Msafiri Diouf
https://mail-attachment.googleusercontent.com/attachment/?ui=2&ik=3530edf2ab&view=att&th=135f8b64218b6198&attid=0.5&disp=inline&realattid=f_gzljywey4&safe=1&zw&saduie=AG9B_P-pMeAX8Bj6uum_JO85Z8o9&sadet=1331319185444&sads=kSTZLTnces7UiIb4StH4n97nNRs 
Kija akimwangalia kwa makini Nape akipiga gitaa la Bass!
https://mail-attachment.googleusercontent.com/attachment/?ui=2&ik=3530edf2ab&view=att&th=135f8b64218b6198&attid=0.6&disp=inline&realattid=f_gzljywey5&safe=1&zw&saduie=AG9B_P-pMeAX8Bj6uum_JO85Z8o9&sadet=1331319253794&sads=KfmhaCRDVEDFNGi7sTemKOlu9Xc 
 Nape Nnauye akipiga Drums huku Msafiri Diouf akiimba

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Nape Nnauye leo alipata fursa ya kipekee kujiunga na Bendi ya Twanga Pepeta "Kisima Cha Buruduni" na kufanya nao mazoezi ndani ya ofisi za Aset. Baada ya kufanya makamuzi ya nguvu ilidhihirika wazi kwamba ukiachilia mbali siasa Nape ni msanii mkali wa kuimba, na kupiga vyombo mbalimbali vya muziki. Aidha Mkurugenzi wa Aset Asha Baraka alifurahishwa na kumshukuru sana Nape kuja kuwatembelea na kuwapa sapoti, vilevile alimuahidi kuwa nafasi yake itakua wazi kwenye bendi mara tu atakapo amua kuachia ngazi kutoka katika jukwaa la siasa na kuamua kujiunga katika tasnia ya muziki. 

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages