Naibu Waziri wa Maji azindua mradi wa uvunaji maji ya Mvua Iringa - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

demo-image

Naibu Waziri wa Maji azindua mradi wa uvunaji maji ya Mvua Iringa

3

4

5

6

7
1
 Naibu Waziri wa Maji Mhandisi Gerson Lwenge akiweka jiwe la msingu kuzindua rasmi ujenzi wa mradi wa maji uliozaminiwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) kupitia mradi wake wa EABL Foundation leo katika Hospitali ya Frelimo ya Manispaa ya Iringa ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya maji duniani itakayoadhimishwa tarehe 22 Machi 2012.Kulia ni Mkurugenzi wa Mahusiano na Mawasiliano wa SBL, Teddy Mapunda na Kushoto ni Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa, Teresia Mhongwe. Zaidi ya watu wapatao 150,0000 wanaohudumiwa na hospitali hiyo watanufaika.Picha Na Mroki T Mroki

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Pages