Wachezaji wa TBC na Jambo Leo wakichuana vikali katika mchezo huo kwenye viwanja vya TCC Sigara Chang'ombe.
Kwa
upande wa Netboli timu za IPP na Mwananchi Communication zikichuana
vikali hata hivyo IPP wamekuwa washindi baada ya kuikandamiza timu ya
Mwananchi magoli 16-12 na kuibuka na ushindi.








No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)