MASAA MACHACHE KABLA YA CHADEMA KUZINDUA KAMPENI HUKO ARUMERU:GODBLESS LEMA AWA KIVUTIO ARUSHA. - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MASAA MACHACHE KABLA YA CHADEMA KUZINDUA KAMPENI HUKO ARUMERU:GODBLESS LEMA AWA KIVUTIO ARUSHA.


Godbless Lema amekuwa kivutio kikubwa alipowasili hapa Usa river majira ya saa saba na nusu mchana kutokea arusha.alikuwa na maandamano makubwa ya magari,pikipiki,na waenda kwa miguu.Alipokaribia tu kufika vijana wa hapa walimbeba juu wakati wote na kufunga barabara kwa muda mpaka walipompeleka sehemu ambako wageni wanafikia.hapa tunasubiri maandamano makubwa ya kupokea viongozi watakaozindua kampeni leo.itarushwa moja kwa moja na star TV.Picha/Habari Kwa Hisani Ya Mjengwa Blog

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages