Hawa ni wanafunzi wa shule ya sekondari ya Viwandani wakiwa wamepewa adhabu kwa makosa tofauti tofauti na Mwalimu wao wakati nikiwa nimetembelea shule hiyo mchana wa leo.Shule ya Viwandani ipo katika manispaa ya Dodoma.
-
All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Hello, my name is Josephat Lukaza. I've 12 years in Blogging and An Award Winner for the BEST Political Blog in African Bloggers Awards in 2015
Learn More →
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)