Katibu Mkuu Ofisi Ya Makamu Wa Kwanza Wa Rais Zanzibar Azindua Ripoti ya Utafiti wa Hali ya Utendaji Wa Vyombo vya Utangazaji vya Umma Zanzibar - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

demo-image

Katibu Mkuu Ofisi Ya Makamu Wa Kwanza Wa Rais Zanzibar Azindua Ripoti ya Utafiti wa Hali ya Utendaji Wa Vyombo vya Utangazaji vya Umma Zanzibar

IMG_9837
KATIBU Mkuu ofisi ya Makamu wa kwanza wa Rais, Dk. Omar Dadi Shajak akionesha ripoti ya utafiti wa hali ya utendaji wa Vyombo vya Utangazaji vya Umma Zanzibar muda mfupi baada ya kuizindua ripoti hiyo katika ukumbi wa hoteli ya Zanzibar Ocean View Kilimani,kulia Meneja wa Baraza la Habari Tanzania Ofisi ya Zanzibar, Suleiman Seif
IMG_9830
KATIBU Mkuu Ofisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais, Dk. Omar Dadi Shajak akizinduwa Ripoti ya Utafiti wa Hali ya Utendaji wa Vyombo vya Utangazaji vya Umma Zanzibar, uzinduzi huo umefanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Ocean View Kilimani.Picha na Haroub Hussein

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Pages