MSANII
wa muziki wa kizazi kipya kutoka Afrika Kusini anayetamba na kibao cha
Fecebook, DJ Cleo, leo alfajiri aliwachizisha mashabiki wa burudani
katika onyesho lililofanyika Viwanja vya Posta, Kijitonyama, jijini Dar
es Salaam. Katika onesho hilo DJ Cleo alisindikizwa na wakali wa muziki
wa kizazi kipya wa hapa nchini. PICHA : RICHARD BUKOS / GPL
-





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)