WAZIRI DK,MWINYIHAJI AELEZEA MAFANIKIO YA WIZARA YAKE KIPINDI CHA MIEZI SITA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

WAZIRI DK,MWINYIHAJI AELEZEA MAFANIKIO YA WIZARA YAKE KIPINDI CHA MIEZI SITA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk,Mwinyihaji Makame akizungumza na waandishi wa Habari kuhusiana na malengo, mafanikio ya Wizara yake kwa kipindi cha miezi sita kuanzia Julay hadi Disemba.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk,Mwinyihaji Makame akizungumza na waandishi wa Habari kuhusiana namalengo na mafanikio ya Wizara yake kwa kipindi cha miezi sita kuanzia Julai hadi Disemba Kulia kwake ni Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Salum Maulid.na kushoto kwake ni Naibu katibu Mkuu idara Maalum Capt,Abdalla Juma.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages