Naibu Waziri
wa Mambo ya Nje wa Marekani anayeshughulikia Masuala ya Afrika, Johnnie
Carson (kushoto) na Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja,
wakisaini makubaliano ya ushirikiano wa maendeleo baina ya Marekani na
Tanzania katika hafla fupi iliyofanyika kwenye Ofisi ya Waziri Mkuu, Dar
es Salaam jana. Wanaoshuhudia ni Balozi wa Marekani nchini, Alfonso
Lenhardt (kushoto) na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini,
Eliakim Maswi. (Picha kwa Hisani ya Ubalozi wa Marekani).
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Home
Unlabelled
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani anayeshughulikia Masuala ya Afrika, Johnnie Carson (kushoto) na Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja, wakisaini makubaliano ya ushirikiano wa maendeleo baina ya Marekani na Tanzania
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani anayeshughulikia Masuala ya Afrika, Johnnie Carson (kushoto) na Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja, wakisaini makubaliano ya ushirikiano wa maendeleo baina ya Marekani na Tanzania
Share This
About Josephat Lukaza
Subscribe to:Post Comments (Atom)
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Lukaza Blog is a resources blog providing high quality articles with premium topics and well drafted. The main mission of Lukaza Blog is to provide the best quality articles which are relevance, original, truth and education materials designed and perfectlly to deliver best result for your knowledge and understanding of new things.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)