wanafunzi wa Kiislam waandamana JANA jijini Dar kupinga kufukuzwa shule wanafunzi wenzao 20 - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

demo-image

wanafunzi wa Kiislam waandamana JANA jijini Dar kupinga kufukuzwa shule wanafunzi wenzao 20

7+%25281%2529
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dk. Shukuru Kawambwa akizungumza na wanafunzi waislamu waliofanya maandamano ya amani na kukusanyika katika viwanja vya Kidongo Chekundu jijini Dar es Salaam leo kupinga Uongozi wa Shule ya Sekondari Ndanda kuwafukuza wanafunzi 20 wa kiislamu waliokuwa wakisoma katika shule hiyo.
Rais+wa+wanafunzi+wa+Kiislamu%252C+Jafari+Mneto
Rais wa Wanafunzi wa kiislamui, Jafari Mneto akizungumza katika viwanja vya Kidongo Chekundu jijini Dar es salaam baada ya Wanafunzi wa Kiislamu kufanya maandamano ya amani.
11
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dk. Shukuru Kawambwa akiwasili katika viwanja vya Kidongo Chekundu jijini Dar es Salaam leo kuzungumza na wanafunzi wa kiislam waliokuwa wameandamana leo kupinga Uongozi wa Shule ya Sekondari Ndanda kuwafukuza wanafunzi 20 wa kiislamu waliokuwa wakisoma katika shule hiyo.
Rais+wa+wanafunzi+wa+Kiislamu%252C+Jafari+Mneto
Rais wa Wanafunzi wa kiislamui, Jafari Mneto akizungumza katika viwanja vya Kidongo Chekundu jijini Dar es salaam baada ya Wanafunzi wa Kiislamu kufanya maandamano ya amani.
13
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Suleima Kova akiagana na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dk. Shukuru Kawambwa mara baada ya kuzungumza na wanafunzi wa Kiislamu.
DSC_8335
15
16
2+%25286%2529
8+%25281%2529
16511139-2494401935612407602?l=issamichuzi.blogspot
 (Picha na Francis Dande)

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Pages