Wananchi
wa Arumeru kwa kushirikiana na vijana wa UVCCM taifa wakiufukia mwili
wa aliyekuwa Mbunge wa Arumeru mashariki Mhe. Jeremia Sumari wakati wa
mazishi yake yaliyofanyika kijijini kwao Akheri, Mkoani Arusha Leo
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akiweka
shada la maua katika kaburi la aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki
Mhe. Jeremia Sumari baada ya mazishi yaliyofanyika kijijini kwao
Akheri, Mkoani Arusha Leo
Waziri
Mkuu Mhe. Mizengo Pinda akitoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa
aliyekuwa mbunge wa Arumeru Mashariki Mhe. Jeremia Sumari kabla ya
kwenda kuzika kijijini kwao Akheri, Mkoani Arusha. Nyuma ni Spika wa
Bunge Mhe. Anne Makinda na Spika mtaafu wa Bunge Mhe. Pius Msekwa
Spika
wa Bunge Mhe. Anne Makinda akitoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa
aliyekuwa mbunge wa Arumeru Mashariki Mhe. Jeremia Sumari kabla ya
kwenda kuzika kijijini kwao Akheri, Mkoani Arusha Leo
Spika
wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiweka shada la maua katika kaburi la
aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki Mhe. Jeremia Sumari baada ya
mazishi yaliyofanyika kijijini kwao Akheri, Mkoani Arusha Leo
Spika wa
Bunge Mhe. Anne Makinda akimfariji mke wa Marehemu Mweshimiwa Jeremia
Sumari, Bi. Miriam Sumari kabla ya mazishi ya marehumu sumari kijijini
kwao Akheri, Mkoani Arusha Leo.Picha Zote na Owen Daudi
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)