Nyama choma ndipo mwanzo mwisho
Lile
tamasha kubwa la Nyama Choma lililopangwa kufanyika katika viwanja vya
Posta ndo limeanza hivi punde na watu kibao wameanza kumiminika katika
Viwanja hivi vya Kijitonyama jijini Dar es Salaam. Huku mabanda kibao
kama hili la Rose Garden likiwa tayari limeivisha nyama. Upande wa
burudani ni Disko kabambe pamoja na Vijana makini wa Twanga Pepeta wapo
uwanjani hapa kutoa burudani mwanzo mwisho. Vinywaji ndo usiseme.
Maini ndo hayoooo yanakatwakatwa....
Kitu Safari Lager a.k.a wadhamini wakuu wapo...





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)